![]() |
Wananchi wamepora msalaba na kuzuia gari lililobeba mwili wa marehem |
![]()
<br>
|
FidQ akiendelea kuongoza msafara kwenda muhimbili! Watu bado wanazuia gari kuondoka |
![]() |
Wananchi wamelizunguka gari lililobeba mwili wa marehemu!! |
![]() |
Wananchi wanashusha wasanii kubeba msalaba sasa wameshusha |
![]() |
Hali ndo kama hii barabani kwenye msafara uliopokea mwiri wa marehemu |
![]() |
vurugu zimeanza after police kutokea |
![]() |
Vurugu zimezidi!! P_Majani anasaidia kuongea na police![]() Hatimaye Mwili wa Marehemu Albert Mangwea wawasili Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa hadi kesho |
No comments:
Post a Comment