ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Saturday, March 23, 2013

RAGE AUNGURUMA MSIMBAZI:ASEMA DOLA 300,000 ZA OKWI ZINAWATOA UDENDA WANAOLETA CHOKOCHOKO



 Mwenyekiti  wa Simba Al Hajj Ismail Aden RAge akizungumza na wanachama pamoja na mashabiki wa Simba hii leo mara baada ya kurejea kutoka nchini India alipokwenda kwa ajili ya matibabu.
 Baadhi ya mashabiki wakimsikiliza Rage
 Baadhi ya mashabiki wakimsikiliza Rage
 Baadhi ya mashabiki wakimsikiliza Rage
 Baadhi ya mashabiki wakimsikiliza Rage

Baadhi ya mashabiki wakimsikiliza Rage

Na Dina Ismail
MWENYEKITI wa klabu ya Simba Alhaj Ismail Aden Rage amesema kuwa chokochoko zinazoendelea ndani ya klabu hiyo inatokana na tamaa ya dola 300,000 za mauzo ya aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo Emmanuel Okwi aliyeuzwa katika klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.
Aidha, Rage amesisitiza kuwa hakuna kitu kinachoitwa mapinduzi ndani ya klabu hiyo na kwamba anawasubiri kwa hamu leo makao makuu ya klabu hiyo wale waliotangaza kumpindua.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...