TANZANIA COMEDIAN'S ASSOSIATION
inasikitika kukuambia kuwa comedian mwenzetu posa. amefariki dunia jana saa 3 asubui katika hospitali ya mwananyamala alipokuwa amelazwa taarifa zaidi za msiba utakapokuwepo tutaambiana ila watu bado tupo hospitali tafadhari mjulishe na mwenzio.. R.I.P POSA.
No comments:
Post a Comment