ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, September 26, 2013

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Atua Tanga Baada ya Kutembelea Maghala ya Kitengo cha Usalama wa Chakula, (NFRA) mjini Arusha


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (kushoto)  wakitazama ngoma kutoka katika kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga Septemba 25, 2013. Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Kaskazini  Mjini Tanga Septemba 26, 2013.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua akiba ya mahihindi wakati  alipotembelea   Maghala ya Kitengo cha  Usalama wa Chakula, (NFRA) mjini Arsha Septemba 25, 2013. Kulia  kwake ni Naibu Waziri wa Kilimo,  chakula   na Ushirika, Adam Malima.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua akiba ya mahihindi wakati  alipotembelea  Maghala ya Kitengo cha  Usalama wa Chakula, (NFRA) mjini Arsha Septemba 25, 2013. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Kilimo,  chakula   na Ushirika, Adam Malima.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...