Hii ilikua ndoto kubwa ya wasanii wa Tanzania waliokua na hamu ya kuvuka mipaka na hata kuingia kwenye headlines za taifa kubwa la Nigeria, linalomiliki sehemu kubwa ya muziki wa Afrika.
Muziki wa Wanigeria umetawala karibu kwenye kila nchi ya Afrika lakini imekua ngumu kwa muziki wa nchi nyingine kutawala kwa kiasi kikubwa namna hiyo, ndio maana hii ni good news kwa Tanzania na wasanii wake ambao mwanzoni walianza kupigwa kwenye TV chache za Nigeria ikiwemo Sound City ambapo wasanii waliopata hiyo nafasi ni Diamond na Ay pekee.
No comments:
Post a Comment