ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, February 6, 2014

SOMA KUHUSU DIAMOND NA VANESA MDEE WANAVYO KINUKISHA HUKO NIGERIA!!



Imefahamika rasmi kwamba nyimbo za waimbaji Watanzania Vanessa Mdee naDiamond Platnumz zimeingia kwenye list ya nyimbo kumi bora za Africa ndani ya chati ya radio maarufu ya The Beat 97.9.

Hii ilikua ndoto kubwa ya wasanii wa Tanzania waliokua na hamu ya kuvuka mipaka na hata kuingia kwenye headlines za taifa kubwa la Nigeria, linalomiliki sehemu kubwa ya muziki wa Afrika.

Muziki wa Wanigeria umetawala karibu kwenye kila nchi ya Afrika lakini imekua ngumu kwa muziki wa nchi nyingine kutawala kwa kiasi kikubwa namna hiyo, ndio maana hii ni good news kwa Tanzania na wasanii wake ambao mwanzoni walianza kupigwa kwenye TV chache za Nigeria ikiwemo Sound City ambapo wasanii waliopata hiyo nafasi ni Diamond na Ay pekee.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...