ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Saturday, March 15, 2014

Filamu ya maisha ya Nuhu na gharika 'Noah' yapigwa marufuku nchi za kiarabu


Filamu ya Hollywood iliyochukua bajeti kubwa sana ikiwa na jina la ‘Noah’ ambayo imeigizwa na Russell Crowe kama Nuhu imepigwa marufuku kuoneshwa katika nchi wanachama wa Umoja wa nchi/Falme za Kiarabu (United Arab Emirates).

Filamu hiyo imepigwa marufuku kwa madai kuwa kwanza inazua mtazamo tofauti kutokana na utofauti uliopo kati ya Biblia na Quran kuhusu simulizi la Nuhu na gharika ingawa kuna mfanano katika vitabu hivyo vitakatifu kuwa kulitokea mafuriko na Mungu akamwambia Nuhu ajenge safina.

Sababu ya pili ni kuonesha mfanano wa nabii na muigizaji wa kawaida hali inayoweza kuzua hisia tofauti kwa baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu.

Mkurugenzi wa maudhui ya vyombo vya habari wa umoja wa nchi/falme za Kiarabu (National Media Centre-United Arab Emirates), Juma Al-Leem, ameiambia Associated Press kuwa filamu hiyo haitaruhusiwa kwenye nchi hizo kwa kuwa inakinzana na miiko katika dini ya kiislam hasa katika kumfananisha nabii na mtu wa kawaida.

“Kuna vipande vya filamu hiyo ambavyo vinakanganya (simulizi) kati ya Biblia na Uislam, kwa hiyo tumeamua kuacha kuionesha.” Alisema Juma Al-Leem. “Ni muhimu kuheshimu dini hizi mbili na kuacha kuonesha filamu hiyo.
Taasisi ya kiislamu ya Al-Azhar ya Misri, imeeleza kuwa imeikataa filamu hiyo kwa kuwa iko kinyume na mafundisho ya dini hiyo na kwamba kuonekana kwa kukataa kuonesha taswira ya mtu ikifananishwa na ile ya nabii kutasaidia kuepuka watu kuanza kumuabudu mtu badala ya Mungu.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA SHEREHE ZA MIAKA 10 YA SIKU YA PAI TANZANIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, Julian Ilunga, wa Shule ya Sekondari Kitangili Mwanza,  aliyeibuka mshindi wa kwanza katika shindano la ‘Junior Mathematics Contest 2013’ wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Pai Tanzania, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadiHaji Hassan, wa Shule ya Sekondari Feza Boys ya Jijini Dar es Salaam,  aliyeibuka mshindi wa pili  katika shindano la ‘Junior Mathematics Contest 2013’ wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Pai Tanzania, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2014.
- See more at: http://msikecorner.blogspot.com/#sthash.XqJdokj2.dpuf

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA SHEREHE ZA MIAKA 10 YA SIKU YA PAI TANZANIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, Julian Ilunga, wa Shule ya Sekondari Kitangili Mwanza,  aliyeibuka mshindi wa kwanza katika shindano la ‘Junior Mathematics Contest 2013’ wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Pai Tanzania, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadiHaji Hassan, wa Shule ya Sekondari Feza Boys ya Jijini Dar es Salaam,  aliyeibuka mshindi wa pili  katika shindano la ‘Junior Mathematics Contest 2013’ wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Pai Tanzania, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2014.
- See more at: http://msikecorner.blogspot.com/#sthash.XqJdokj2.dpuf

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA SHEREHE ZA MIAKA 10 YA SIKU YA PAI TANZANIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, Julian Ilunga, wa Shule ya Sekondari Kitangili Mwanza,  aliyeibuka mshindi wa kwanza katika shindano la ‘Junior Mathematics Contest 2013’ wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Pai Tanzania, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadiHaji Hassan, wa Shule ya Sekondari Feza Boys ya Jijini Dar es Salaam,  aliyeibuka mshindi wa pili  katika shindano la ‘Junior Mathematics Contest 2013’ wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Pai Tanzania, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2014.
- See more at: http://msikecorner.blogspot.com/#sthash.XqJdokj2.dpuf

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...