Tuzo za The Woman Of The Year zinatarajiwa kutolewa Jumamosi wiki hii Machi 29, mjini Dodoma kuanzia saa 1:30 usiku ndani ya Ukumbi wa The African Dream. Hafla hii ni kwa wageni waalikwa na waheshimiwa wajumbe wa Bunge la Katiba, mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda
ADV
SOMA HABARI
Wednesday, March 26, 2014
GLOBAL WOMAN OF THE YEAR 2013
Tuzo za The Woman Of The Year zinatarajiwa kutolewa Jumamosi wiki hii Machi 29, mjini Dodoma kuanzia saa 1:30 usiku ndani ya Ukumbi wa The African Dream. Hafla hii ni kwa wageni waalikwa na waheshimiwa wajumbe wa Bunge la Katiba, mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment