ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, March 24, 2014

Majina ya Wenyeviti wa kamati za bunge waliochaguliwa jana hawa hapa




1. Hamad Rashid
2: Christopher ole sendeka
3: Shamsi vuai nahodha
4: Anna Abdallah
5: Job Ndugai
6: Anna Kilango malecela
=========
Kamati Namba Moja:
Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu, Makamu Mwenyekiti ni Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.

Kamati Namba Mbili:
Mwenyekiti ni Shamshi Vuai Nahodha, Makamu Mwenyekiti ni Shamsha Mwangunga.

Kamati namba tatu:
M/kiti ni Francis Michael, Makamu ni Fatma Musa Juma.

Kamati namba nne:
Mwenyekiti ni Christopher ole Sendeka na Makamu ni Dk. Sita Mamboya.

Kamati namba tano:
Mwenyekiti ni Hamad Rashid Mohamed na Makamu ni Assumpter Mshama

Kamati namba sita:
Mwenyekiti ni Stephen Wassira na Makamu ni Dk. Maua Dftari.

Kamati namba saba:
Mwenyekiti ni Brigedia Jenerali (mstaafu) Hassan Ngwilizi na Makamu ni Waride Bakar Jabu.

Kamati namba nane:
Mwenyekiti ni Job Ndugai, Makamu ni Biubwa Yahya Othman.

Kamati namba tisa:
Mwenyekiti ni Kidawa Hamid Salehe na Makamu ni William Ngelleja.

Kamati namba 10:
Mwenyekiti ni Anna Abdallah, Makamu ni Salim Hawadhi Salim.

Kamati namba 11:
Mwenyekiti ni Anna Killango, Makamu ni Yusuf Hamad Masauni.

Kamati namba 12:
Mwenyekiti ni Paul Kimiti na Makamu ni Thuwayba Edington Kisasi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...