ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, April 2, 2014

Exclusive: Ommy Dimpoz ‘alikufa’ kwenye video yake mpya, tazama picha akiwa kwenye jeneza


Maisha ya Ommy Dimpoz kwenye script ya video yake mpya aliyoishoot hivi karibuni nchini Uingereza yanaonekana yalikuwa magumu sana. 

e61e0e96a8e611e3bd540e4cd1fa8f5b_8Ommy akiwa na msichana atakaeonekana kwenye video hiyo, Sofia Skvortsova 

Tayari staa huyo wa Tupogo ameshawaonesha mashabiki wake baadhi ya picha za uchukuaji wa video hiyo iliyoongozwa na Mnaijeria aishiye London, Uingereza, Moe Musa zikiwemo zile anazoonekana akiwa chini ya ulinzi

Muongozaji huyo wa video leo ameshare picha nyingine akiwa kwenye mchakato wa kuhariri video hiyo na tumegundua kuwa Ommy alikufa kwenye video hiyo

 65efa46aba4c11e393a3120e7f1e83f1_8 

Katika picha hiyo Ommy anaonekana yumo kwenye Jeneza "Color grading/Correcting Ommy Dimpoz Music Video.Visuals look#Frosh2Deth".Ameandika muongozaji huyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...