Video na wimbo huo vilifanyika hivi karibuni nchini Afrika Kusini ambapo D’Banj aliongoza wasanii wengine wakiwemo Buffalo Souljah (Zimbabwe), Judith Sephuma (South Africa),
Vusi Nova (South Africa), Liz Ogumbo (Kenya), Nancy G (Swaziland), Dama
Do Bing (Mozambique), Diamond (Tanzania), Femi Kuti (Nigeria), Rachid
Taha (Algeria), Juliani (Kenya), Omawumi (Nigeria), Tiken Jah Fakoly
(Cote d’Ivoire), Fally Ipupa (DRC), Kunle Ayo (Nigeria), Wax Dey
(Cameroon), Victoria Kimani (Kenya), Ambwene Allen Yessayah (Tanzania),
na Dontom (Nigeria).
Wimbo ulitayarishwa kwa ushirikiano wa Cobhams Asuquo na DeeVee wa DB Records huku video ikifanywa na GodfatherProductions.
Wimbo ulitayarishwa kwa ushirikiano wa Cobhams Asuquo na DeeVee wa DB Records huku video ikifanywa na GodfatherProductions.
No comments:
Post a Comment