ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, February 9, 2015

Kimenuka!! Mh Zitto Kabwe na Mike Sonko warushiana maneno kuhusu Magari ya Tz kuzuiliwa Kuingia Kenya...Sonko aapa kuja Tz kwaajili ya Zitto

Nimeona nijitokeze hadharanio kwa kumpongeza sana Mh Zitto.kwa namna ambavyo amepambana dhidi ya wakorofi Wakenya huko twitter
Kwamba,alipost kuhuji juu ya maamuzi ya marufuku iliyotolewa na waziri wa uhusiano wa Africa Mashariki na utalii wa Kenya juu ya marufuku ya kuingia magari ya Tanzania nchini Kenya
1.Ghafla,akadakia na kupost waziri wa utalii Kenya na kusema serikali ipo sahihi na kuonyesha dharau juu ya watanzania,kwa kusema hakujafanyika mkutano wowote na anahitaji makubaliano ya mwaka 198
Kwamba,wadau mablimbali nikiwepo mie tukampa moyo Zitto kwa kusema hakuna haja ya dialogue,huko ni kuwabembeleza,kinachotakiwa tuwazuie baadhi ya bidhaa zao kuingia kwetu,ndio tuzungumze
2.Kwamba,Zitto akapost na kusema kuwa kama waziri atoe marufuku hiyo.kama la, nasi tuweke marufuku Maziwa kutoka Kenya yasiuzwe Tanzania na kwamba''Rais wao Kenyatta aondoke na Maziwa yake"
3.Mara akadakia Seneta sharobaro Mike Sonko,akapost na kusema kuwa atakuja TZ ili kusisitiza Zitto kumuomba radhi Rais Uhuru(nitamkaribisha) kwakuwa ni mwenyekiti wa EAC.kwa maneno ya ".....aondoke na maziwa yake"
4,Zitto akapost na akasema .Tena inapaswa Zitto na Bunge zima la Tanzania liombe radhi rais Uhuru
Rai Yangu
  • Kwa sasa wakenya chini ya Seneta Sonko wameanzisha kampeni ya kumchafua Mh.Zitto na Tanzania mtandaoni kwa kutuonyesha hatufai kwa lolote kwao
  • Watanzania wote inapaswa kumuunga mkono Zitto kwa hili,na kupambana na hao wakenya ambao wameanza chokochoko za mitandaoni
  • Inawezekana wamechoka kuwa na hili shirikisho la Afrika Mashariki?
  • Karibu sana Seneta Sonko tukufundishe diplomasia ya Usharobaro ulioenda Shule.Msamaha?kwa Lipi?

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...