ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label Sumaye.. Show all posts
Showing posts with label Sumaye.. Show all posts

Wednesday, July 24, 2013

SUMAYE AHOFIA NCHI KUONGOZWA NA WAUZA DAWA ZA KULEVYA.

284571 379142788823064 514932820 n 9605e


Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
WAZIRI Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewataka Watanzania kutambua kwamba hakuna mtu tajiri anayetoa fedha na mali zake bila masharti; na kuwa iwapo Watanzania watawaweka madarakani viongozi kwa rushwa, wasitegemee Katiba Mpya itajibu matatizo yao ndani ya jamii.
"Tukumbuke kuwa anayekuhonga ili umpigie kura akishaingia madarakani mkataba wake na wewe uliishia pale ulipomuuzia kura yako na yeye kazi atakayofanya akipata hiyo ofisi au madaraka ni kusaka rushwa na kufisadi mali za umma ili arudishe fedha zake alizotumia kukununua wewe na wenzako," alisema Sumaye.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...