ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, November 29, 2012

Rais Kikwete akutana na Mwenyekiti wa Kanu Gideon Moi Jijini Nairobi


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa chama cha KANU Mhe Gideon Moi aliyemtembelea  Novemba 29, 2012 katika hoteli ya Nairobi Serena jijini Nairobi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Mwenyekiti wa chama cha KANU Mhe Gideon Moi aliyemtembelea na kufanya naye mazungumzo Novemba 29, 2012 katika hoteli ya Nairobi Serena jijini Nairobi.
  
Godeon Moi ambaye ni mtoto wa Rais Mstaafu daniel Arap Moi akiwa kwenye mashindano ya Farasi
 
 
Gideon Moi akitawazwa kuwa kiongozi wa kimila wa Kalenjin

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...