ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, December 6, 2012

Wabunge Wajifua Kwa Mashindano


 Wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania wakiwa kwenye mazoezi ya Gmy kwenye Gmy ya life ambayo pia imetoa ofa kwa timu mbali mbali za taifa ambazo zitaweka kambi jijini hapa kupata mazoezi ya gmy bure ikiwa kama sehemu yao ya kuimarisha ushindi kwa timu zetu

  mh.Idd Azzan ambaye pia ni mwenyekiti wa timu hiyo wakiwa kwenye mlima wa mawe kwa mazoezi ya kujiwinda kwa safari ya Nairobi ambayo waliianza jana na kuahidi ushind kwa timu hiyo
mh.Grasse Kiwelu,mh;Ester Bulaya na wahishimiwa wangine wakiwa kwenye mazoezi ya gmy kweny gmy ya Life iyopo kwenye mtaa wa Sengengeri mkabala na baclays back wakifuatilia kwa ukaribu maelekezo ya mwalim wao wa gmy( picha zote na mahmoud ahma arusha)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...