ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, January 9, 2013

BASI LA BUNDA LAPATA AJALI

bunda a8b9c
Basi la Bunda lililokua linatokea Musoma kwenda Mwanza limepata ajali nje kidogo ya Magu eneo la katikati ya Kahangalala na Ihayabuyaga na watu watatu wanahofiwa kufariki katika ajali hiyo na zaidi ya 10 kujeruhiwa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...