KUTOKANA na ndoa hiyo
kuwa ya aina yake, hivi karibuni waandishi wetu walimuweka kati Bob Junior na
kumbana kwa maswali ya “why, kwanini, ikawaje” aoe kimyakimya wakati yeye ndiye
‘prezidaa’ wa masharobaro?
Bob Junior akafunguka: “Nilifunga ndoa Desemba mwaka jana.
Nililazimika kuoa kimyakimya kutokana na masharti ya wazazi wa pande zote mbili
kwamba ndoa isifungwe kwa mbwembwe.”
“Kikubwa ni kufunga ndoa inayompendeza Mungu ili atupe Baraka zake
na tuishi katika maisha yanayompendeza.
“Kwa Watanzania, napenda wajue tu
ukweli kwamba nimeoa na mke wangu anatarajiwa kujifungua hivi karibuni,” alisema
Bob Junior a.k.a Mr. Chocolate.
KUTOKANA na ndoa hiyo
kuwa ya aina yake, hivi karibuni waandishi wetu walimuweka kati Bob Junior na
kumbana kwa maswali ya “why, kwanini, ikawaje” aoe kimyakimya wakati yeye ndiye
‘prezidaa’ wa masharobaro?
Bob Junior akafunguka: “Nilifunga ndoa Desemba mwaka jana. Nililazimika kuoa kimyakimya kutokana na masharti ya wazazi wa pande zote mbili kwamba ndoa isifungwe kwa mbwembwe.”
“Kwa Watanzania, napenda wajue tu ukweli kwamba nimeoa na mke wangu anatarajiwa kujifungua hivi karibuni,” alisema Bob Junior a.k.a Mr. Chocolate.
No comments:
Post a Comment