ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, January 3, 2013

Taswira:Vilio Simanzi Vyatawala Msiba wa Sajuki


 Ndugu wa Msanii aliyefariki dunia leo hii Juma Kilowoko (Sajuki) aliyejitambulisha kwa jina la Ahmedi Mkotwa akilia na kushindwa kuzungumza na waandishi wa habari leo nyumbani kwa Sajuki Tabata jijini Dar es Salaam. "Alinichukua nyumbani akaniambia mdogowangu twende ukatafute maisha na kweli tulipanga mambo mengi lakini...." akashindwa kuendeleea.Mazishi ya Msanii huyo yanatarajiwa kufanyika leo  Ijumaa kwenye makaburi ya Kisutu. .
Msanii Mkongwe maarufu kwajina la Bimwenda akimlilia msanii mwenzake Sajuki huko nyumbanikwake Tabata

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...