ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, February 28, 2013

Sede Vacante

   


                                                                  Castel Gandolfo
 
Castel Gandolfo - Castel Gandolfo, Rome    
Muonekazo wa Castel Gandolfo
 
 
Papa Benedict akilisha Samaki


  
Papa alisali rozari
 
Papa akitafakari katika moja ya bustani za Castel Gandolfo

 
 
 
Walinzi wa Papa
Papa akiwa katika Balcon ya Castel Gandolfo akibariki watu

   
Watu waliokusanyika katika viwanja vya Castel Gandolfo kusubiri kumwona Papa

 
Asubuhi ya leo saa 11 am GMT Papa amefanya mkutano wa mwisho na makardinali wote 
Usiku wa leo 4 pm GMT Papa ataondoshwa kwenye makazi ya vatica kwa helkopta na kupelekwa Castel Gandolfo kwa muda ambapo ni makazi ya papa katika kipindi cha kiangazi.
Picha za hapo juu ni muonekana wa Castel Gandolfo

  Akifika Castel Gandolf atawasalimia na kkuwabariki waumini ambao watakuwa wamejitokeza kumpokea Hiyo itafanyika muda wa 7: pm GMT na baada ya baraka hizo ukomo wa uongozi wake utaisha rasmi.

Shughuli nzima itakuwa inaonyeshwa na televission zote duniani na kwa Tanzania itakuwa ni muda wa saa nne usiku. BBC, CNN, SKY NEWS, Algezera......... ni miongoni mwa TV zitakazokuwa zinaonyesha tukio hilo la kihistoria.

Baada ya hapo, Kanisa katoliki litaingia katika kipindi kiitwacho "Sede Vacante" au kwa kiingereza "Vacant See" au kwa tafsiri yangu "kipindi ambacho hakuna papa" 

Kuanzia hapo kanisa litakuwa kwa muda chini ya  "camerlengo" ("chamberlain"),  ambaye kwa sasa ni Kardinali Tarcisio Bertone
 
                                         Kardinali Tarcisio Bertone




Kesho nitawaletea makala ya kazi ya Camerlengo au kiongozi wa mpito kabla ya papa Mpya kuchaguliwa.
 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...