ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, March 18, 2013

BREAKING NEWS:Trafiki wa Kike Elikiza Agongwa Vibaya na Gari Eneo la Bamaga Jijini Dar es Salaam Mchana Huu

 Trafiki Elikiza baada ya kugongwa na gari eneo la Bamaga muda huu.
 rafiki wa kike aliyejulikana kwa jina moja la Elikiza aliyekuwa akiongoza magari eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar, akifunikwa na wasamaria wema baada ya kugongwa na gari na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo.
 Baadhi ya wananchi waliofika na baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi(JWTZ)Wakiwa eneo la tukio
Hali ilivyokuwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.Picha na Shauri Kati / GPL
--
Trafiki mmoja ambaye amefahamika kwa jina moja la Elikiza, muda huu amegongwa na gari aina ya VX ambayo haikujulikana namba na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo wakati akiongoza magari eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam. Taarifa zilizopatikana eneo la tukio zinadai kuwa Trafiki huyo alikuwa akiongoza msafara na baada ya msafara huo, aliruhusu magari mengine yaendelee na safari ndipo ghafla gari lilipotoka upande wa pili na kumgonga.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...