ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, March 7, 2013

hUGO cHAVES AAGWA NA MAELFU MJINI CARACAS, KUZIKWA IJUMAA



                                 

Raia wakimlilia kiongozi wao

                      
 
Mwili wa Marehemu Hugo Chavez katika gari.








     


 Mwili wa mareheu rais Hugo Chavez wa Venezuela, umelazwa katika kituo cha mafunzo ya jeshi katika mji mkuu Caracas Mapema leo mwili wa marehemu Chavez ulipitishwa kwenye umati mkubwa wa wafuasi wake katika mitaa ya mji mkuu Caracas.

Maelfu ya raia wa Venezuela wakiusindikiza mwili wa aliyekuwa rais wao.       
  

Mwili wa Chavez umelazwa katika kituo cha mafunzo ya kijeshi mjini Caracas na marais wa nchi jirani walifika kutoa heshima zao za mwisho akiwemo Rais wa Bolivia

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...