LOWASSA ATIKISA IRINGA ...... AKABIDHIWA TUZO YA HESHIMA IRINGA

![]() |
Kaimu Meya wa manispaa ya Iringa Vitus Mushi (kushoto) akisalimiana na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa baada ya kutua uwanja wa ndege wa Nduli Iringa |
![]() |
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akitoa neno mbele ya Lowassa kwa kuwataka viongozi wa serikali kujisahihisha kuwa mambo yanavyokwenda sivyo yanavyotakiwa kwenda |
![]() |
Askofu wa OPC Iringa Dkt Boaz Sollo akimkabidhi tuzo ya heshima waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa leo katika ukumbi wa St Dominic |
No comments:
Post a Comment