ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, April 15, 2013

Mabomu mawili yalipuka kwa mfululizo jana Boston Marekani na kusababisha vifo vya watu wawili na wengine kadhaa kujeruhiwa.



Mlipuko huo ulitokea katika eneo lakumalizia mbio za Marathon ambapo kwa kawaida huwa na watu wengi na milipuko hii imetoka muda mchache tu baada ya mojawapo ya wakimbiaji kupita katika eneo hilo. Bado uchunguzi unaendelea kujua chanzo cha milipuko hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...