ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Tuesday, May 21, 2013

Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya Nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay Ajiunga Rasmi na Chadema kwa kishindo


 The heavy weight MC Proj Jay, aka Dady, Joseph Haule akipokea Kadi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Muda mfupi uliopita Mjini Dodoma Mara baada ya kujiunga rasmi na Chadema
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Profesa amekabidhiwa kadi ya uanachama wa CHADEMA na mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu
Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema John Mnyika(kulia)akiteta jambo na mbunge wa mbeya mjini-Chadema Joseph Mbilinyi aka Sugu muda mfupi baada ya Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay kujiunga na chadema leo Mjini Dodoma
--
Leo msanii maarufu hapa Bongo Profesa Jay (Joseph Haule) amejiunga na Chama Cha Demokrasi na Maendeleo huko Dodoma na amekabidhiwa kadi ya chama cha CHADEMA rasmi na Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi aka Sugu huko Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...