ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Friday, June 14, 2013

Obama aahirisha safari ya kutembelea Mbuga za wanyama Tanzania kusevu pesa zawalipa kodi wake

ObamaOdingaSupporter.jpg
Rais Obama ambaye ameamua kukatiza ziara yake ya kitalii Tanzania kwa ajili ya kushughulikia kwanza matatizo ya wananchi wake.
army 1.jpg
Magari ya kivita 56 ambayo yatatakiwa kumsindikiza Obama katika safari yake ya kitalii Tanzania

 article-2341276-1A4EBD7F000005DC-211_634x408.jpg
Askari walenga shabaha watakaokuwa wanamlinda na wanyama wakali
navy 1.jpg
Meli ya kivita itakayokuwa ufukweni ikiwa na ndege za kivita na wafanyakazi wa dharura na wauguzi.

Magari 14 aina ya limo ambayo yatakuwa yanatumiwa na Obama katika ziara yake Tanzania
 

Ndege za kivita zitakazotumika kuhakikisha usalama wa angani


Ndege ya mizigo ambayo itasafirisha magari ya kifahari kwa ajili ya safari ya Obama




WASHINGTON –
Ikulu ya White House ya Marekani imekatiza safari ya Rais Obama na mkewe Michelle ya kutembelea mbuga ya wanaya ya mikumi iliyopo Tanzania, kutokana na ukata unaoikabiliserikali yake. Imeelezwa katika gazeti la Washington Post jana.
Gazeti hilo ambalo lilinukuu mipango ya siri ya safari hiyo imesema kuwa safari ya Obama na mkewe ambayo ilikuwa ifanyike baadaye mwezi huu, ingehitaji majasusi wa kumlinda rais huyo na njia za kipekee zaidi kuhakikisha usalama wake na mkewe.
 Safari ya rais katika mbuga za wanyama inahitaji ulinzi wa hali ya juu, silaha za hali ya juu kama siper rifles ambazo zitaweza kulenga wanyama wakali kama cheetahs, (duma, samba au wanyama wengine kama ikitokea wanataka kumsogelea au kumdhuru rais huyo.

(The safari "would have required the president's special counterassault team to carry sniper rifles with high-caliber rounds that could neutralize cheetahs, lions or other animals if they became a threat," the paper reported.)

Ikulu ya Marekani imefuta ziara hiyo ambayo rais Obama alikuwa atembelee mikumi national park  kwa masaa mawili.
Hata hivyo msemaji wa Ikulu ya Marekani hakupatikana mara moja kutoa maelezo, kanini msemaji mwingine alisema ziara ya kutembelea Robben Island ambamo Mzee Mandela alikuwa amefungwa kwa miaka 27 ilikuwa ikikusudiwa kufanyika.

SAbabu kubwa za kufutwa kwa ziara hiyo ni kwa sababu ya ya kuwa na upungufu wa bajeti na vifaa vya kumlinda Obama katika mission yake hiyo hivyo ikaonekana ni rahisi zaidi kutombelea Robben Island kuliko Mikumi National Park. Alisema msemaji huyo Josh Earnest. Alisema ni ngumu kufanya safari zote hizo kwa pamoja.

Hii ilikuwa ni ziara ya kitalii ya kwanza kwa Rais Obama tangia amechaguliwa January 2009, safari ambayo ingeligarimu Taifa hilo kati ya dola milioni 60 hadi 100.

Mamia ya askari wa siri (secret agents) wanatakiwa kupelekwa katika sehemu ambazo Obama atatembelea  pamoja na manuari ya kivita yenye kubeba ndege za kivita (Navy aircraft carrier or amphibious ship) ikiwa na wahudumu pamoja na wauguzi maalum ambao watakaa ufukweni kwa dharura yeyote itakayojitokeza.

Pamoja na hayo magari zaidi ya 56 yatapelewa kwenye nchi hizo tatu kwa njia ya ndege pamoja na vioo maalum vya kuzuia risasi (sheets of bulletproof glass) ambavyo vitazungushiwa kwenye hoteli ambayo atafikia Obama.
 Kama vile ulinzi huo hautoshi, pia kuta kuwa na ndege za kivita zitakazokuwa zinazunguka katika anga ambalo Obama atakuwa amefikia na hizo ndege zitakuwa zinazunguka angani hapo kwa masaa 24 kwa kupeana zamu ("Fighter jets will fly in shifts, giving 24-hour coverage over the president's airspace



Dear Leader has once again raised the standard for us all. Conserve The People's resources regardless of personal sacrifice or selfish desires. Hail Obama!
  - See more at: http://thepeoplescube.com/peoples-blog/obama-cancelled-safari-to-save-taxpayer-s-money-t11228.html#sthash.GTCTYV2B.dpuf

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...