ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Saturday, June 1, 2013

Wamachinga Mwenge - Dar es Salaam wageuka kuwa "POLISI"

Kwamba kuanzia sasa wamachinga na wafanya biashara wote wa maeneo ya Mwenge watakuwa wanafanya u.safi katika maeneo ya mwenge kila siku ya Jumamosi na kuwa hakuna mtu ataruhusiwa kutupa takataka hovyo katika viunga vya Mwenge. Hii ni changamoto kwa serikli ya hapa kuhakikisha kuwa ari hii inaendelea na kujifunza kuwa sio kila wakati wamachinga ni wafanya fujo. Ni watu wastaarabu na wanaweza kufanya mambo makubwa kama wakiunganisha kwa kuhamasishwa.  Ni matumaini yetu kuwa hata ile miradi ya majalala inayotuzunguka maeneo ya Mwenge yatatafutiwa maeneo maalum na si karibu na makazi ya watu au biashara.
Tahadhari kwa wapitaji wa Maeneo ya Mwenge "USITUPE TAKATAKA HOVYO KATIKA ENEO HILI MAANA UKINASWA NA POLISI WA MAZINGIRA UTAWAJIBISHWA.


Picha mbali mbali zikionyesha polisi wa mazingira wakifanya usafi katika Viunga vya Mwenge














No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...