ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, June 10, 2013

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Aliposhiriki Mkutano wa Kimataifa wa Lishe Mjini Londoni


 Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron  akihutubia katika  mkutano wa kimataifa wa Lishe Mjini London Juni 2013.
 Rais wa Malawi Joyce Banda akihutubia katika mkutano wa lishe jijini London  juni 8, 2013.
 Goodwill ambassador wa UNICEF, Angelique Kidjo ambaye apia nai mwnamuzi wa kimataifa akizungumza katika mkutano wa kimataifa wa Lishe uliofanyika mjini London  Juni 8, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa Lishe uliofanyika Mjini Londoni Juni 8, 2013.  Wapili kushoto ni Waziri Mkuu wa Ivory Coast, DanielDuncan.
 Waziri  Mkuu,Mizengo pInda ana Viongozi wengine wakimsikiliza Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron wakati alipohutubia mkutano wa kimataifa wa Lishe mjini London Juni 8, 2013.
 Waziri  Mkuu,Mizengo pInda ana Viongozi wengine wakimsikiliza Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron wakati alipohutubia mkutano wa kimataifa wa Lishe mjini London Juni 8, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kamishina wa Maendeleo ya Uchumi na Kilimo wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (Commissioner for Rural Economy and Agriculture, African Inion Commission), Tumusiime Rhoda katika Mkutano wa Kimataifa wa Lishe Mjini London Juni 8, 2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...