Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao
maalum cha Kamati Kuu ya CCM, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma ljana,
Agosti 25, 2013. Kikao hicho kilifanyika kwa ajili ya kukutana Mbunge wa
Bukoba mjini Khamis Kagasheki, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera,
Constansia Buhiye, Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Abedi Mushi, Mwenyekiti
na Katibu wa CCM wilaya ya Bukoba mjini na Meya wa Manispaa ya Bukoba
Anatory Amani, kuhusu mgogoro wa madiwani wanane wa CCM Manispaa ya
Bukoba. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
No comments:
Post a Comment