Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William
Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiondoka
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuelekea Harare,
Zimbabwe, kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe,
Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho
Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee
Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna
Mkapa, wakiwasili katioka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare,
Zimbabwe, walikoalikwa kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa
Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho.Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment