Ponda kuunguruma Morogoro kesho Ijumaa.
Katibu wa jumuia na taasisi za kiislam Tanzania Sheikh Ponda Issa
Ponda anatarajia kuunguruma kesho kwenye uwanja wa
ndege maarufu kwa jina la K. ndege mjini Morogoro mara baada ya swala ya Ijumaa saa 8 mchana. Mkutano huo umeandaliwa na umoja wa wahadhiri wa Kiislam Tanzania.
Katika mkutano huo mada mbalimbali zitajadiliwa. Mashekh kibao watakuwepo
ikiwemo Sheikh Kondo Bungo. Kwa hamasa iliyopo watu watajaa ile mbaya
kama unavyojua sheikh Ponda ni kipenzi cha waislam. Kama kawaida kwenye
mikutano ya waislam, amani itatawala. Wote mnakaribishwa.
No comments:
Post a Comment