NYUMBANI
NAFASI ZA KAZI
MSAADA WA ELIMU
JOIN US
GOLDEN STATIONARY
INTERNET CAFE
GX100 DESIGNS
ADV
ADVERTISEMENT CORNER
HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE
Subscribe our Feed
Follow me on Twitter
Find me on Facebook
Join me on Google+
Connect with LinkedIn
SOMA HABARI
Thursday, September 26, 2013
MRADI WA UZALISHAJI MBEGU BORA ZA MPUNGA GEREZA KILOSA,MOROGORO WAONESHA MAFANIKIO
Mkuu wa Gereza Kilosa, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza (SSP) John Itambu akifafanua jambo kwa mmoja wa Maafisa habari wa Jeshi la Magereza, Mkaguzi wa Magereza Deodatus Kazinja (kulia) walipotembelea mradi huo hivi karibuni.
Mwonekano wa mfereji wa maji yanayotumika kumwagilia shamba la mpunga katika mradi huo. Mfereji huo hutumika kumwagilia mashamba ya Magereza pamoja na wanakijiji wanaozunguka eneo hilo na chanzo chake ni kutoka mto Wami Mkoani Morogoro.
Sehemu ya shamba la mradi wa uzalishaji wa Mbegu bora za Mpunga ambazo husambazwa kwa wakulima kupitia kwa Wakala wa Mbegu nchini (ASA).
Baadhi ya Maafisa na Askari wa Gereza Kilosa wakiwa Timamu Paredi tayari kwa majukumu ya siku hiyo ( Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment