ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, October 30, 2013

RUFAA YA BABU SEYA, PAPII KOCHA KILICHOBAKI HUKUMU


babuseyarufaa3_93851.jpg
Nguza Viking 'Babu Seya' (kulia) na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha' wakitoka mahakamani kwa furaha.
babuseyarufaa1_c9aa8.jpg
Nguza Viking 'Babu Seya' (wa pili kulia) na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha' (wa pili kushoto) wakiwa mahakamani.
babuseyarufaa3_1_3a090.jpg
Babu Seya na Papii Kocha wakiwa na furaha nje ya mahakama.
Baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa jijini Dar es Salaam kupitia hoja za mawakili wa serikali na utetezi kwenye Rufaa ya hukumu ya kifungo cha maisha jela katika kesi iliyokuwa ikimkabili mwanamuziki Nguza Viking 'Babu Seya' na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha', wameamua kuhairisha rufaa hiyo mpaka tarehe husika ya kutoa hukumu ya kesi hiyo itakapopangwa hapo baadaye.
(Picha na Richard Bukos / GPL) (P.T)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...