NYUMBANI
NAFASI ZA KAZI
MSAADA WA ELIMU
JOIN US
GOLDEN STATIONARY
INTERNET CAFE
GX100 DESIGNS
ADV
ADVERTISEMENT CORNER
HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE
Subscribe our Feed
Follow me on Twitter
Find me on Facebook
Join me on Google+
Connect with LinkedIn
SOMA HABARI
Saturday, October 19, 2013
ZIARA YA WAZIRI MKUU MHE. PINDA SHENZHEN CHINA
Baadhi ya watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania mjini Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania kwenye ubalozi wao mjini Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Chini, Luteni Jenerali Abdulrahmani Shimbo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akisalimiana na Watanzania baada ya kuzungumza nao kwenye ubalozi wa mjini Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipewa mauwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndegea wa Shenzhen akitokea Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akizungumza baada ya kutembelea Sheko Container Teminal mjini Shenshen akiwa katika ziara ya kikazi nchini China. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment