NYUMBANI
NAFASI ZA KAZI
MSAADA WA ELIMU
JOIN US
GOLDEN STATIONARY
INTERNET CAFE
GX100 DESIGNS
ADV
ADVERTISEMENT CORNER
HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE
Subscribe our Feed
Follow me on Twitter
Find me on Facebook
Join me on Google+
Connect with LinkedIn
SOMA HABARI
Monday, December 2, 2013
Emmanuel Msuya awa Mshindi wa EBSS 2013.
Mshindi wa EBSS 2013, Emmanuel Msuya akilia kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi.
Emmanuel akiwa haamini kama yeye ndiye mshindi wa milioni 50 za EBSS.
...Machozi ya furaha.
...Akiwapungia mashabiki.
Fireworks zilitawala eneo hilo baada ya Emma kutangazwa mshindi.
...Akikabidhiwa kitita cha shilingi milioni 50 kutoka kwa Jaji Mkuu wa shindano hilo, Madam Ritta (kushoto).
Emmanuel akiwa na kitita chake.
Emmanuel akipongezwa baada ya kuibuka mshindi.
Emmanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile baada ya kubaki wawili katika fainali za EBSS 2013.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment