ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, January 30, 2014

JK akamilisha uteuzi majina ya wajumbe Bunge la Katiba


Rais Jakaya Kikwete.
*****
Hatimaye, wajumbe 201 kutoka katika majina ya wawakilishi 2,722 wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na taasisi za kidini yaliyopelekwa Ikulu kwa ajili ya uteuzi wa Rais wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamepatikana.

Wajumbe hao wamepatikana baada ya kazi ya kuchambua majina hayo kufikia tamati.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...