ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Friday, March 14, 2014

Picha za majengo yaliyoporomoka New York



ff
Majengo mawili yameporomoka New York Marekani ambapo mpaka sasa imetoka ripoti ya watu wawili kufariki na
wengine kutoonekana huku 18 wakijeruhiwa na wanne wakikimbizwa hospitali.
Chanzo cha majengo hayo kuporomoka ni mlipuko uliotokana na kuvuja kwa gesi ambapo askari wa zimamoto wakiwa na vifaa vya kisasa wako kwenye eneo la tukio kuendelea kuzima moto.
Capture
ssdd
effs
1
2
3
4

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...