ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, March 19, 2014

Watafia Arsenal,Ramsey,Cazorla na Zelalem Wasaini Mikataba Mipya na hii ndiyo Mishahara yao


Arsenal wamefanikiwa kuwasainisha mikataba mipya Santi Carzorla na Aaron Ramsey na Kumpandisha chipkizi Gedion Zelalem kuwa mchezaji wakulipwa
Santi Carzola raia wa Hispania mwenye umri wa miaka 29 amesaini mkataba wamiezi 12 ambao atakuwa analipwa £80,000 kwa wiki
Aaron Ramsey raiya wa Uingereza amesaini mkataba wa miaka 5 nae atakuwa akilipwa £90,000 kwa wiki

All smiles: Ramsey posted this picture of himself signing his new contract with Wenger on Instagram
All smiles: Ramsey amepost picha hii kwenye account yake ya Instagram baada ya kusaini mkataba mpya

Signing on: Arsenal's Aaron Ramsey has extended his deal at The Emirates
Signing on: Arsenal's Aaron Ramsey has extended his deal at The Emirates

Going nowhere: Spanish midfielder Santi Cazorla (left) has signed an improved deal to stay at Arsenal
Going nowhere: Spanish midfielder Santi Cazorla (left) has signed an improved deal to stay at Arsenal

Big future: Gedion Zelalem, pictured here making his first team debut against Coventry this season, has signed his first professional contract



Zelalem mwenye umri wamiaka 17 amepandishwa kwenye timu ya wakubwa nakupewa mkataba wa kwanza wa miaka 5 na kuwa mchezaji wa kulipwa 


Backing: Wenger believes that 17-year-old Zelalem has the potential to forge a successful career with the Gunners
Backing: Wenger believes that 17-year-old Zelalem has the potential to forge a successful career with the Gunners


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...