ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Thursday, June 12, 2014

SUGU KUTOKA BRAZIL ALIAHIDI KUVAA RANGI ZA NCHI YAKE KWA MIAKA 20 KAMA BRAZIL INGESHINDA KOMBE LA DUNIA MWAKA 1994


Akiwa mtaani
 Nelson Paviott amedhihirisha kuwa anaweza kula kiapo kwani mpaka leo anavaa nguo za rangi ya Nchi yake.
Aliahidi kuvaa rangi za kijani,njano,nyeupe na blue na jamaa huyu hakuaishia hapo hata magari yake kayapaka rangi hizo,ofisi yake na hata chakula anadai kula vyenye rangi hizo. Je, wewe unaweza? 




 Humu ni ofisini kwake

 Huwezi kuamini lakini ndo ukweli wenyewe hata kwenye boneti kapaka rangi hizo
 Hayo ni magari yake
 Viatu vyake
Akichagua nguo na tazama saa yake hapo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...