ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, July 28, 2014

VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WAFIKISHWA MAHAKAMANI KINONDONI KWA KESI YA KUTUPA MAITI ZA WATU HUKO BUNJU



 Viongozi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) cha Dar es salaam wamefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kinondoni leo wakikabiliwa na mashtaka ya kutupa ovyo viungo vya binadamu. Wakati taarifa kamili ikiandaliwa hebu jionee taswira hizi walipofikshwa mahakamani leo
 Watuhumkiwa wakiwa katika gari la polisi 
 Watuhumiwa wakipanda gari baada ya kusomewa mashitaka

 Watuhumiwa wakitoka mahakamani baada ya kusomewa mashitaka
Watuhumiwa wakiwa wanasubiri kuingia mahakamani.
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...