Audio ya wimbo huu umefanywa hapa hapa ×Tanzania na producer wa ×Kitanzania anaitwa Tudd Thomas ambaye ni mkali aliyetengeneza hit single kadhaa za wasanii mbalimbali ikiwemo singo ya ×Ndagushima ya Ommy Dimpoz na ×Mdogo Mdogo ya Diamond Platnumz.
Hapa kashiriki kuutengeneza wimbo huu kutoka kwa mwanadada anaewakilisha 254 Victoria Kimani,hii single inaitwa ×Prokoto ambapo upande wa audio imetolewa miezi michache iliyopita.
Video imefanywa na ×Director kutoka Kenya Kevin Bosco Jnr ambaye kwa taarifa fupi ni kwamba ameshiriki pia kutengeneza video ya ×Mtanzania Ney wa Mitego ya Mr. Ney ambayo bado haijatoka.
No comments:
Post a Comment