Picha mbalimbali jinsi Polisi walivyowadhibiti waandishi wa Habari
Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwadhibiti wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam jana wakati Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akihojiwa na polisi.
Jeshi la
Polisi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana
walitunishiana misuli na kusababisha kivumbi katika miji ya Dodoma na
Dar es Salaam.
Kivumbi hicho kilitokana na Jeshi la Polisi kutaka kuzuia maandamano
yaliyotangazwa na Chadema mikoa yote nchini bila kikomo kwa lengo la
kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba (BMK).
CHIKI VIDEO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment