ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Monday, September 8, 2014

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAAHIRISHA MGOMO


Wafanyabiashara hao wakiwasikiliza viongozi wao (hawapo pichani).
Wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam waliokuwa katika mgomo wa kupinga matumizi  ya mashine za Kodi za TRA (EFD), Jana asubuhi 


wamekutana na viongozi wao ambapo wamekubali kufungua maduka huku suala lao likitafutiwa ufumbuzi zaidi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...