Magari makubwa yakiwaka moto baada ya moto huo kuzuka maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo. Picha tofauti juu zikionesha baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo ya moto.
AJALI mbaya ya moto imetokea jana majira
ya saa kumi na moja jioni maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na
Kongo baada ya lori moja kulipuka kwa moto na kuchoma…
Magari makubwa yakiwaka moto baada ya moto huo kuzuka maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo.Picha tofauti juu zikionesha baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo ya moto.
AJALI mbaya ya moto imetokea jana majira
ya saa kumi na moja jioni maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na
Kongo baada ya lori moja kulipuka kwa moto na kuchoma malori mengine
yaliyokuwa jirani yake. Inadaiwa magari mengi yameungua yakiwemo kutoka
Tanzania japo idadi kamili ya maafa yaliyotokana na ajali hiyo bado
hayajafahamika.
No comments:
Post a Comment