Spika wa Bunge Mhe.
Anna Makinda akiliongoza Bunge mjini Dodoma jana,wakati akitoa ufafanuzi
kuhusu mtu mmoja kushikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kosa
la kupatikana akisambaza Ripoti ya (ESCROW) ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu
wa Hesabu za Serikali kinyume na Sheria Baada ya Hoja iliyoibuliwa na
Mbunge wa Kuteuliwa Mhe.James Mbatia.
Mbunge wa Kuteuliwa
Mhe.James Mbatia akiwa amekaa na Hasimu wake wa Siasa jimbo la Vunjo
Mhe.Agustino Mrema wakimsikiliza kwa makini Spika wa Bunge Mhe.Anna
Makinda.
Waziri Mkuu,Mh.
Mizengo Pinda akisalimiana ya wanachama wa chama cha kuweka na kukopa
(SACCOS) kutoka Katoro-Busanda. Aliye valia gauni la njano ni Mbunge wa
Busanda Mhe.Lolesia Bukwimba.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akizungumza na wanachama wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka Katoro-Busanda.
Mbunge wa Busanda
Mhe. Lolesia Bukwimba (kushoto) akimueleza jambo Waziri wa nchi Ofisi ya
Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya juu ya ugeni wake wa wanachama
wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka
Katoro-Busanda,waliotembelea Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu,Mh.
Mizengo Pinda (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wa
chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka Katoro-Busanda,waliotembelea
Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Mhe. Sofia Simba
(kushoto) akifurahia jambo na Mhe.Anna Mkinda wakati wakitoka katika
kikao cha Bunge.
No comments:
Post a Comment