ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, January 21, 2015

Kauli ya Spika wa Bunge Anne Makinda kuhusu sakata la Escrow Hapo Jana



Spika wa Bunge Anne Makinda amesema sio kazi yake kuwasimamisha wenyeviti wa Kamati za Bunge ambao wanatuhumiwa na ishu ya fedha za Escrow badala yake ni wao wenyewe kujiondoa kama njia ya kutii maazimio yaliyopitishwa na Bunge ambayo yanawataka kuwajibika.
“Azimio linasema viongozi wa Kamati hizi watawajibika kwenye Kamati zao, tusibadilishe maneno. Naona na gazeti lingine linasema hawajajiuzulu, what is that? Suala la azimio kwamba viongozi hawa watatu wa Kamati wajiuzulu”—Anne Makinda

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...