ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label Msafara wa Rais Kikwete wazuiliwa na wananchi.. Show all posts
Showing posts with label Msafara wa Rais Kikwete wazuiliwa na wananchi.. Show all posts

Tuesday, October 22, 2013

Msafara wa Rais Kikwete wazuiliwa.

MBUNGE AWACHANA MAWAZIRI MBELE YA JK , WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA RAIS

a_7ea4a.jpg
Wananchi wa Mlangali wakiwa wamezuia msafara wa Rais Kikwete
b_80eef.jpg
Madai ya wana Ludewa kwa JK

c_2d981.jpg
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akisaidia kueleza kero za wana Ludewa kwa Rais Kikwete baada ya msafara wake kuzuiwa eneo la Mlangali leo
d_786a1.jpg
Msafara wa JK ukiwa umezuiwa eneo la Mbwila Ludewa leo
MBUNGE wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe awafyatua mawaziri mbele ya Rais Jakaya Kikwete kuwa wamekuwa wakitembelea jimbo lake la Ludewa wakati wa ziara ya Rais na waziri mkuu wakati siku zote wananchi wa jimbo hilo wanalia kwa kero mbali mbali.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...