ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label Ramadhani. Show all posts
Showing posts with label Ramadhani. Show all posts

Tuesday, July 9, 2013

MFUNGO WA RAMDHAN WAANZA LEO JULAI 10




 Waislamu nchini Tanzania  Leo Julai 10 wanaungana na waislamu kote duniani kuanza Mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mufti wa Tanzania Shaban Issa Bin Simba imesema kuanza kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kunafuatia kuandamwa kwa mwezi ikiwa ni kiashirio tosha kuanza kwa ngwe hiyo.

Hata hivyo Mufti Shaban Issa Bin Simba amewataka Waislamu wote nchini kujikita kumpenda Mungu siku zote za Mfungo na hata baada ya mfungo.

Goldentz  inawatakia Waislamu wote Mfungo mwema na wenye Baraka.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...