ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI
Showing posts with label ZITTO AVULIWA VYEO VYOTE CHADEMA.. Show all posts
Showing posts with label ZITTO AVULIWA VYEO VYOTE CHADEMA.. Show all posts

Thursday, November 21, 2013

ZITTO NA KITILA wadaiwa KUVULIWA VYEO VYOTE NDANI YA CHAMA !

Kikao cha Kamati Kuu ndiyo kimeisha muda huu, na taarifa zilizopo ni kwamba kambi ya PM7 imevunjwa rasmi baada ya viongozi wake kuvuliwa vyeo vyote walivyo navyo ndani ya chama.
Waliovuliwa vyeo ni Zitto Kabwe, ambaye amevuliwa nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa chama pamoja na nafasi ya Naibu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Dr. Kitila Mkumbo yeye amevuliwa nafasi ya mjumbe wa kamati kuu.

  Kamati Kuu imewaandikia barua Zitto na Kitila, wajieleze ndani ya siku 14 kwanini wasifukuzwe uanachama.

Tunawapongeza kamati kuu kwa hatua hii muhimu kwa mustakbali wa chama na taifa. 

CHANZO: JAMII FORUM 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...