ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, February 16, 2014

Kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM chaanza huko DODOMA



 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya mrisho Kikwete akiongoza kikao cha NEC mjini Dodoma na kuwaambia wana CCM kuwa uvumilivu una ukomo wake hivyo waache unyonge.

Baadhi ya Wajumbe wa NEC wakimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kikao cha NEC kilichoanza jioni ya jana mjini Dodoma .

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika jengo la White House mjini Dodoma leo, akiwa meza kuu na Makamu wa Rais wa CCM visiwani na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein, na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

  Mjumbe wa NEC Ndugu Bernard Membe akijadiliana jambo ndani ya ukumbi wa NEC na Martine Shigela kabla ya kuanza kwa kikao cha NEC mjini Dodoma.
 Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro pamoja na Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakhia Hamdani Meghji wakipitia makablasha kabla ya kuanza kwa kikao cha NEC mjini Dodoma.
 Naibu Katibu Mkuu CCM (Bara) Ndugu Mwigulu Lameck Nchemba akijadiliana jambo na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kabla ya kuanza kwa kikao cha NEC mjini Dodoma.Picha na Adam Mzee na IKULU

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...