ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Sunday, February 16, 2014

Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu William Mgimwa,Godfrey Mgimwa Achukufua Fomu Rasmi Za Uteuzi za Kuwania Ubunge wa Jimbo la Kalenga Kupitia CCM


Mtoto wa aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu William Mgimwa  Godfrey Mgimwa (wa pili kushoto) akisindikizwa na wana CCM wenzake kwenda kuchukua fomu za kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga kwa Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Iringa
Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Iringa,Pedenciana Kisaka akimkabidhi fomu za uteuzi za kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga, Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu William Mgimwa Ambaye ni Mgombea wa CCM Godfrey Mgimwa jana.Picha zote na Frank Leonard

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...