ADV

ADV

ADVERTISEMENT CORNER

HUDUMA YA KUKATA TICKET ZA NDEGE ONLINE


SOMA HABARI

SOMA HABARI

Wednesday, December 10, 2014

ASKOFU DESMOND TUTU ANASUMBULIWA NA TEZI DUME


Askofu Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu.
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu, ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya.
Taarifa iliyotolewa na taasisi yake imeeleza kuwa Askofu huyo ataanza matibabu hivi karibuni ili kukabiliana na tezi dume ambayo amedumu nayo miaka 15 iliyopita.
Binti wa Askofu huyo amemuelezea baba yake mwenye umri wa miaka 82, kwamba hatahudhuria tuzo za Nobel zitakazofanyika wiki hii huko Rome, Italia.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...